Karibu kwenye tovuti ya maktaba ya Amilcar Cabral
Maktaba Amilcar Cabral
Juu ya Asia na Afrika na Amerika ya Kusini
Via San Mamolo 24 - 40136 Bologna (Italia)
Simu 051/581464 - faksi 051/6448034
Baruapepe: amicabr@comune.bologna.it
Wakati wa kazi ya Maktaba:
Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi: toka saa mbili na nusu asubuhi mpaka saa moja usiku;
Ijumaa na Jumamosi: toka saa mbili na nusu asubuhi mpaka saa saba na nusu asubuhi
Maktaba ya Amilcar Cabral ya Bologna inashughulika na mambo ya kimataifa na hasa siasa, jamii, uchumi na utamaduni za mataifa ya Asia, Afrika na Amerika ya Kusini. Maktaba inaandaa vipindi vya taarifa na uchambuzi (mikutano, semina, maonyesho) kuhusu mada hizo.
Maktaba ina vitabu 40.000 na magazeti 400 (majarida 50 yanaendelea kununuliwa)
Mawanda yanayoshughulikiwa ni:
Historia, siasa, uchumi, jamii, fasihi, utamaduni na dini za Asia, Afrika na Amerika ya Kusini;
Ushirikiano wa kimataifa, msaada kwa maendeleo; maingiliano ya dharura na ya huruma;
Mapigano na kukomeshwa kwa mapigano
Haki za binadamu na hali ya wanawake wa nchi zinazoendelea;
Maendeleo yanayoweza kuendeleza;
Historia ya mikutano ya Mashariki na Magharibi; vitabu vya safari;
Uhusiano kati ya makabila na mataifa na uhamiaji.
Maktaba ina hazina ya Afrika ya Mashariki (vitabu 800 juu ya historia na utamaduni wa Afrika, masimulizi ya safari toka karne ya 19 mpaka mwanzo wa karne ya 20, wasifu, historia kwa jumla na historia ya jeshi la Waitaliani kwenye Afrika) iliyozawadiwa na familia ya Jenerali Guerrino Lasagni.
Kuna karibu na vitabu 950 vya hazina ya Paul Sebag vinavyozungumzia habari za Tunisia na Afrika ya Kaskazini. Hapa pana vitabu juu ya elimukale, historia, elimujamii ya mji, dini, hadithi za safari, uharamia wa baharini, lugha na fasihi za kiarabu, kiebrania, jiografia.
Orodha ya vitabu vya maktaba imeingizwa kwenye katalogi ya mtandao wa mawasiliano wa kitaifa SBN na unaweza kuiona online (http://solo.cib.unibo.it:8080/SebinaOpac/Opac?sysb=UBOAI).
Huduma:
Makaribisho na ushauri;
Kukopesha vitabu;
Mkopo toka maktaba nyingine;
Uwasilishaji wa vitabu;
Uwekaji wa vitabu
Mapendekezo ya vitabu vya kununulia;
Kuviona vitabu;
Kuiona hazina ya Guerrino Lasagni;
Kuiona hazina ya Paul Sebag;
Habari za bibliografia, kwa baruapepe (amicabr@comune.bologna.it), kwa simu (051581464), kwa BiblioChat na huduma ya marejeo online inayoitwa "Chiedilo al bibliotecario" (maana yake ni "Mwulize mkutubi") (http://www.centrocabral.com/adon.pl?act=doc&doc=338);
Kusoma magazeti na majarida;
Fotokopi;
Kuiona katalogi online;
Mahali pa kusoma;
Kompyuta inayowezesha kutafuta kwenye mtandao;
Laboratorio didattico organizzato dal Centro di Studi sull'Africa contemporanea (CeSAC) dell'Università di Napoli "L'Orientale". Il ciclo di incontri, in lingua inglese, è rivolto agli studenti, ma aperto a uditori esterni.
Seminario online, Università Ca’ Foscari - Dipartimento di Studi sull'Asia e sull'Africa Mediterranea - 12 aprile 2021
Un ciclo di appuntamenti da dieci teatri, ognuno dei quali ospiterà una lezione online, sempre di domenica dal 7 marzo al 16 maggio 2021.
12 episodi sulla nuova scena artistica africana
Da venerdì 26 febbraio 2021 alle 21.10 su Rai Storia, un documentario in quattro puntate. Di Jean-Pierre Canet. Introduzione di Marcella Emiliani
Una piattaforma per facilitare la ricerca e il dialogo inter-culturale
Mercoledì 24 febbraio 2021, alle ore 21 su Ètv-Rete 7
Il racconto della missione su Next quotidiano
Un sito per comprendere la complessità della situazione siriana, attraverso il racconto degli eventi in sei città
Online l'ultimo libro del Collettivo Joana Karda
Un articolo di Marcella Emiliani su Azione
Museo virtuale dell’emigrazione emiliano-romagnola nel mondo.
L’Europa e gli Altri per un mondo Plurale
Una nuova sezione dell'ezine indipendente Jadaliyya
Il Centro per la Cooperazione Internazionale organizza il percorso formativo "Le Afriche Oggi: chiavi di lettura, sfide, prospettive" che propone una serie di corsi interamente online, alcuni introduttivi e altri di approfondimento, dedicati all'Africa contemporanea.
Una mappa interattiva raccontata dai migranti
La puntata de "Il tempo e la storia" del 25 maggio 2017 è disponibile online
Esposizione online dedicata al Museo Indiano di Bologna, a cura di Luca Villa
Marcella Emiliani ha pubblicato una "Storia dell'Isis" in sei puntate sulla rivista svizzera Azione
by Max Fisher on March 26, 2015 - una storia del Medio Oriente attraverso le carte geografiche